Friday, October 31, 2014

WACHA MOVIE IANZE : WEMA NA AUNTY EZEKIEL LEABIANS!!!

Mwanadada mwenye sifa za kutosha nchini Tanzania na anayesikika kuwa na panda shuka za mapenzi na Diamond kwa jina WEMA SEPETU na mwanadada anayetamba kwa tasnia ya uigizaji tanzania nzima aka Bongo movie kwa jina AUNTY EZEKIEL hivi karibuni wameshuhudiwa wakiparty pamoja kwenye vilabu tofauti Tanzania.
Leo tumembea na kupata kuwa si marafiki tu ila WAPENZI!!!
Thibitisho hiliii......

ACHA MOVIE IANZEEE....

"ULIZA MCSK KIDIS KABLA YA KUONGEA"

Bwana Dna kupitia Pwani fm kipindi cha MashavMashav university leo amefunguka na kukana uvumi na uzushi kuwa amekuwa akimzidi mwimbaji mashuhuri mkoani kidis wa kamua leo.
Ambapo hivi karibuni kidis alikuwa akidai kuwa Dna amekuwa akimzidi pato lake kwa mcsk .
Bwana Dna amesema kuwa baada ya kuskia shutma hizo alimpigia Kidis na Kumwambia kuwa angedhibitisha ama kupeleka malalamishi Kwa MCSK ambao ndio wanaohusika na malipo ya mziki hapa nchini.

Nani anakamuliwa hapa???

PWANI CELEBRITY AWARDS "ITS ALL CRAP"

Baada ya Nominations za Pwani Celebrity Awards kutangazwa juma lililopita kumetokea majibizano kupitia mtandao wa kijamii Facebook na baadhi ya maneno kufanya wengine kujitoa katika kinyanganyiro hicho cha Awards za Pwani celebrity.
Kama Msanii mkongwe Susu mila baada ya kuzipuuza award za hapa mkoani Amepata wenzake na pia kumuunga mkono.
Baadhi yao ni Presenters wa MWAKEMWAKE wanaojulikana kama Aka DOUBLE C ikimaanisha CHIGULU NA CHRISS!!
Napia Msanii Mlevi wa mapenzi aka DAZLAH na producer mkali wa TEE HITS aka TEE HITS!

Je Wengine watajichuja??

Wednesday, October 29, 2014

CHIDI BEENZ APATA DHAMANA!

Msanii wa Ilala mwana hiphop nchini Tanzania apata dhamana baada ya kukubaliana na masharti aliyopewa na Jaji Baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya.
Hivi karibuni atarudi Mwana wa Ilalaa!!
Mpaka susee!!

Saturday, October 25, 2014

CHIDY BENZ IN YET ANOTHER SCANDAL !!


We all know him as the best rapper of his own kind after he collaborated Diamond and Dully in his New single " MPAKA SUSE " but the police in Dar knows him in a deferent perspective. News around says that yesterday Chidy was arrested at the Julius Nyerere International airport traying to transport drugs to mbeya where he was set to perform at the INSTAGRAM Party which was set for tomorrow.
The speculations are confirmed to be try that Chidy was arrested yesterday afternoon at the departure turnel at the airport where he was scanned and found posesing the drugs. The police has recovered 14 barrels of drugs from his pocket and two rols of Bang.
The commissioner of police ( ACP ) Hamisi Selemani who is the police incherge of Airports in Tanzania confirmed the arrest of Chidy Benz and said he was posesing the Drugs.
He went on sayin " ‘Alikuja Airport kwa ajili ya safari kwenda Mbeya, kete hizo 14 za dawa za kulevya zilikua zimefungwafungwa na nailoni na pia amekutwa na vifaa vingine vinavyohusiana na watu wanaotumia dawa za kulevya, kuna kigae na kijiko na yeye mwenyewe anakiri ni vitu vyake huwa anatumia ila anashangaa ni kwa nini vimeweza kubaki kwenye mfuko, tutamfikisha Mahakamani baada ya kuweza kubaini ni dawa aina gani za kulevya’'

Friday, October 24, 2014

WANGESHI WALKS GOD IS GREAT!

Following that grizzly car accident weeks back,
female rapper Wangechi has been in
recuperating mode after she thankfully came out
of the whole thing alive. The ‘Attention Shopper’
star has been missing from the scene though
her producer Kevin Provoke assured us that it
will most certainly not be for long and it seems
it was true as the star let us in on how she’s
progressing so far via an instagram post that
read;

Rome wasn’t built in a day. On the 3rd week of
physical therapy and can finally take at least
three steps on my own feet. All praise be to
God. Re learning how to walk and stand is the
hardest thing I’ve done. All your prayers give
me strength and I’m forever grateful.
#Godspeed #shoutouttomytherapist
#badhairday #imgonnawalkbychristmas

Thursday, October 23, 2014

SURA YAKO REMIX BY SAUTI SOL GIFT TO FANZ

You should already know by now that Sauti Sol
won an MTVEMA Award for Best African Act,
2014. This makes them the first Kenyans to do
it, beating renowned giants such as Davido and
Diamond. It looks like we came through for
them this time round. They couldn’t have done
it without your vote, which is why as soon as
their victory was announced, they posted a
tweet saying they had a surprise for their fans.

SAUTI SOL WINS MTV EMA AWARDS!!!!

By ingeniously using their social media
platforms, Sauti Sol managed to get the
usually lethargic fanbase to vote for them and
MTV just announced that they group beat
favourites Davido and Diamond from Nigeria
and Tanzania respectively.
Sauti Sol is the first Kenyan act ever to
receive this award and goes on to show just
how big and dedicated their fans are.
The win means Sauti Sol are now the sole
African ambassadors at the EMA and have
made it into the final voting phase of the
prestigious Worldwide Act award category, as
one of 10 international Worldwide Act
nominees.
Go Sauti Sol and make Kenya and Africa
proud. I guess it’s time to do the Lipala!!

Tuesday, October 21, 2014

MSANII PAPA ANAWADISS TENA!

Coast Infuencial comercial rapper has came back with a bang!
Papa who Who came with his own unique style of giving them Real n corecting other artist n giving advce even if its that bitter!
Has another hit out Domo Domo/PangaNga where he is dissing some1!
You wanna know who? Listen to your airwaves!

Monday, October 20, 2014

HUDDAH GOT WIZKID ATTENTION!

The struggling socialite Huddah Monroe is trying
to up her game. With Rispa Faith and Vera
Sidika getting all the headlines, Huddah who has
not been getting the same of late decided to
attend the WizKid performance in Nairobi this
weekend. She managed to get a picture and a
great one as WizKid was photographed kissing
her.

I WONDER WHAT VERA N RISPA WILL REACT!

MCSK TO PAY DIAMOND 1.2M???

After maumbea that MCSK is going to pay Tanzania's Top RNB singer DIAMOND PLATNUMZ 1.2Million to perform on their planned show.
Some of kenyan artist went to the street to protest after they were to be paid atmost only 1/4 of it!
Is It fare for our artist to be paid that way?
This agitation got Gospel artist Rington to lead other artist to the street upto MCSK offices to protest!

Saturday, October 18, 2014

CAROH FOE's TRENDING IMAGES

Coast socialite CAROH FOE got aggitated after her images that was to be send to her dude outside the continent leaked and people started talking ill on them!
Via her facebook acount she stated that she dont give a damn on what they say!
Here are some of the images .....

PATAM HAPA!!

Monday, October 13, 2014

DJ BONEZ GETS A BABY BOY

Coast award winning Dj and the Spincycle All Dj crew  Mr David Pyper aka Dj Bonez is now a happy dad!
After his lovely wife SASHA MKALA delivered a bouncy baby boy!
Dj Bonez via his Instagram Tweeter and Facebook could not hide his Joy and Expressed his graduation to Parenthood.

Congrats Dj Bonez !!!!