Friday, September 26, 2014

DIAMOND MWISHOWE AFUNGUKA

Hatimaye Diamond Platnumz amefunguka
kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa ameachana
na Wema Sepetu na kwamba ana mpango wa
kufunga ndoa na Meninah Atick.
Diamond ameiambia MAUMBEA DOT COM  kuwa tetesi hizo
zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa.
“Unajua hizi habari kiukweli zimekuwa
zikinihuzunisha sana,” amesema msanii huyo.
“Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendi
kuzunguzia mambo ya rumors, siju magazeti
huwa sipendi kuzungumzia kabisa, kwa kuwa
najua kabisa siwezi kubishana na media
kwakuwa media ni kubwa, maana najua
utaongea na huyu na yule siku ya siku
utagombana na watu. Ndio maana huwa nakaa
kimya,” ameongeza Diamond.
Wema
“Kusema ukweli hili suala limekuwa likiniumiza
‘eti sijui kuna vikao vya harusi mie nataka
kumuoa Meninah’ Kusema ukweli sina
mahusiano na Meninah. Kila mtu anajua mie
nina mahisiano Wema. Wema ndo mpenzi
wangu, ila wakati mwingine nakuwa naelewa ile
inakuwa ni trick ya kibiashara. Mtu anajua hata
nikimuandika vipi ‘Diamond sijui kafanya nini
watu hawawezi kumchukia! Kwahiyo wanaamua
kunitengenezea chuki na maadui kwa watu kuwa
nipo na mwanamke wangu halafu namsaliti.”

Meninah : “Unajua kitendo hicho hatamaye kinaniudhi
naona mtu yupo na mpenzi wake halafu
anamsaliti. Najua hicho ni kitendo ambacho kila
mtu hakimpendezi. Kwahiyo wanaamua
kunitengenezea chuki na maadui kupitia njia
hiyo. Labda wana wasanii wao, sasa wanaona
tukiingia kwa njia hii tutaweza kuamharibia
Diamond. Ndioa siku zote nimekuwa kimya tu ila
sina mahusiano na Meninah. Mie nikiwa na mtu
huwa sifichi naweka wazi kabisa. Hata kama leo
nimeachana na Wema nasema tu, why nifiche?
Mie katika mambo yangu huwa simuogopi mtu
kama ningekuwa nataka kuoa basi ninge weka
wazi why nifiche?”

Thursday, September 25, 2014

DO YOU KNOW DAZLAH'S CHILEMONDE?

After a long hidden  Dazlah's secrete Love Life n after his fans insisted to know who is dazlah kiduche aka Mlevi wa Mapenzi n Bangereba Hit maker .
Coast RNB Singer Dazlah Kiduche finally opens up to maumbea news desk and names his Fiance .
"I know everybody would be like OMG! But its the right time to Funguka ama?  yeah i have been dating secretly this mamacitta n i plan God willing to marry her.Her name is LIZZ JAHSOLDIER! Yeah yap i also did songs for her bt i will not mention which bt is for you to findout"

Lizz jahsoldier whom she is a promoter of coast musiq bt She is based at Dubai .

#AllTheBestToTheLoveBirdsss

DOUBLE EVENT TEAM MAFISI MUKO WAPII?

On 27th sept all roads will be heading to Mtwapa for two full n live eventsss!
Ordinarey Bingwas Video shoot n Pool Party! Where dress code #Uspimeeeeee

TeamMafisi where you At??

Saturday, September 20, 2014

NYOTA NDOGO TO BE IN COURT!

Coast best songtress Nyota Ndogo found herself some questions to answer after doing a song with Kaa La Moto whom was already signed at SQ Records .
Nyota Ndogo fetured Kaa La Moto in her New song MAPANYA  which was done at a Studio known as Amillion Records under producer Khalid.
SQ producer Mr.Amz Jadidi says Nyota didnt follow the right procedure of a signed Artist ie Kaa La Moto.

Tuesday, September 16, 2014

"SLEEM G LIPA DENI "SAYS; DABOSSQUEEN!!

Coast German based Diva Emilly Emmers aka Dabossqueen via her fb acount she has expressed her anger and aggitation over her ex boyfriend the Ceo n Mmusic artist the hit maker of UNAWEZA and a member of BB4BG SleemG autalimitts for conning her over 200k!
Romour has it that sleemG took advantage of her love n asked her for a loan to start the initiative CHANUKA UJITEGEMEE MOVEMENT. which Dabossqueen didnt see any.
Via her fb emilly wrote " Emilly Ermers Dabossqueen
This fukin ngombe!!ety chanuka ujitegemee
mtajitegemea sanaaa arschlock!!!2000k aitoshi
kuzima hi beef mwenda my space amekuongeza
ngapi kumaliza hii issue"

Thursday, September 11, 2014

FINALLY SUDI BOY LANDS IN SAFE HANDS OF MR.PRINCE

After a long strugle n husle all up the ladder Coast RNB singer Sudi Boy his dark tunnel has came to its end.
Mr.Prince From Nairobi has seen sudi's sweat and decided to wipe it by managing him .
Mr.Prince has signed a contract with sudiboy n promissing him that he will not regret.He has secured a fully furnished house n finace his music .